| Naam!Mtu hawezi kukumbatia Katiba usiku wa manane-Maneno ya Bw Harusi haya |
| Swagger hadi Church.. |
| Mdogo wangu Mayunga wa Breakthrough Business Support na mkazi mwenza wa Chuo cha Mafunzo |
| Braza Richard Kasesela Mzee wa Kanisa |
| Hapa sina comment..CHADEMA uso kwa uso na CCM |
| Mahubiri |
| Maharusi wakifwatilia mahubiri kwa makini..lakini shemeji aliistukia camera yangu |
| Mr and Mrs Alex Mayunga |
| Kulia:Shemeji Steven Kolimba akipokea upako wa neno |
| Kaka Amathe akila neno |
| Mr and Mrs Dan Welwel |
| Mr and Mrs Elia Yobu(MAYO Insurance Brokers) katika sala nzito |
| Mark Okello na Mike Dalali wakibubujika kwa Bwana |
| Mimi na Maiwaifu wangu wazee wa Upako |
| Dada Dr.Subi akifungua Neno |
| Dada Rose akikamua Neno |
No comments:
Post a Comment