| Usikivu |
| Zawadi ya kigoda..shurti ukikalie hapo hapo |
| Neno |
| Baba Askofu Dr.Alex Malasusa |
| Baba Mkwe Mzee Senyagwa (RTD MP) |
| Ukawadia wakati wa 'I DO' |
| I DO |
| Eric akamtundika Mwende pingu |
| Mwende akajibu mapigo..Pingu kadaaaaa |
| Baba Mzee Ongara |
| Mama Ongara....alitokelezeaaajeeee..Big up! |
| Neno la Nasaha toka kwa Baba Askofu..Baraka iliyoje |
| Vyeti vya uthibitisho wa kujiunga chama la wastaarabu |
| Ndoaaaz Pawaaaaa.. |
| Wakwe Mr&Mrs Senyagwa |
| Kwa Upendo wa Mungu familia zikaungana |
| Watu weweweee...kachukua kaweka waaaa |
| Taxedo ya Bw Harusi si ya kitoto....str8 from Obamaland |
| Taaaabasaaaam nipate furahaaaaa |
| Matron wa ukwe-e |
| Best Man anaonekana full Busara za kiparoko |
| Nani kasema Mpiga Picha hatokei...weeee na mimi nikatia swagger la upendeleo |
| The ONGARA's na hapo hawajatimia |
| Kamati ya Vinywaji ikiongozwa na Shem Steve Kagaruki wa kwanza kushoto |
| White Sands palipambika |
| Swadaktaaaaa....Kesho ntakuletea Burudani ya Ukumbini.. |
| Naam!Mtu hawezi kukumbatia Katiba usiku wa manane-Maneno ya Bw Harusi haya |
| Swagger hadi Church.. |
| Mdogo wangu Mayunga wa Breakthrough Business Support na mkazi mwenza wa Chuo cha Mafunzo |
| Braza Richard Kasesela Mzee wa Kanisa |
| Hapa sina comment..CHADEMA uso kwa uso na CCM |
| Mahubiri |
| Maharusi wakifwatilia mahubiri kwa makini..lakini shemeji aliistukia camera yangu |
| Mr and Mrs Alex Mayunga |
| Kulia:Shemeji Steven Kolimba akipokea upako wa neno |
| Kaka Amathe akila neno |
| Mr and Mrs Dan Welwel |
| Mr and Mrs Elia Yobu(MAYO Insurance Brokers) katika sala nzito |
| Mark Okello na Mike Dalali wakibubujika kwa Bwana |
| Mimi na Maiwaifu wangu wazee wa Upako |
| Dada Dr.Subi akifungua Neno |
| Dada Rose akikamua Neno |