| Usikivu | 
| Zawadi ya kigoda..shurti ukikalie hapo hapo | 
| Neno | 
| Baba Askofu Dr.Alex Malasusa | 
| Baba Mkwe Mzee Senyagwa (RTD MP) | 
| Ukawadia wakati wa 'I DO' | 
| I DO | 
| Eric akamtundika Mwende pingu | 
| Mwende akajibu mapigo..Pingu kadaaaaa | 
| Baba Mzee Ongara | 
| Mama Ongara....alitokelezeaaajeeee..Big up! | 
| Neno la Nasaha toka kwa Baba Askofu..Baraka iliyoje | 
| Vyeti vya uthibitisho wa kujiunga chama la wastaarabu | 
| Ndoaaaz Pawaaaaa.. | 
| Wakwe Mr&Mrs Senyagwa | 
| Kwa Upendo wa Mungu familia zikaungana | 
| Watu weweweee...kachukua kaweka waaaa | 
| Taxedo ya Bw Harusi si ya kitoto....str8 from Obamaland | 
| Taaaabasaaaam nipate furahaaaaa | 
| Matron wa ukwe-e | 
| Best Man anaonekana full Busara za kiparoko | 
| Nani kasema Mpiga Picha hatokei...weeee na mimi nikatia swagger la upendeleo | 
| The ONGARA's na hapo hawajatimia | 
| Kamati ya Vinywaji ikiongozwa na Shem Steve Kagaruki wa kwanza kushoto | 
| White Sands palipambika | 
| Swadaktaaaaa....Kesho ntakuletea Burudani ya Ukumbini.. | 
| Naam!Mtu hawezi kukumbatia Katiba usiku wa manane-Maneno ya Bw Harusi haya | 
| Swagger hadi Church.. | 
| Mdogo wangu Mayunga wa Breakthrough Business Support na mkazi mwenza wa Chuo cha Mafunzo | 
| Braza Richard Kasesela Mzee wa Kanisa | 
| Hapa sina comment..CHADEMA uso kwa uso na CCM | 
| Mahubiri | 
| Maharusi wakifwatilia mahubiri kwa makini..lakini shemeji aliistukia camera yangu | 
| Mr and Mrs Alex Mayunga | 
| Kulia:Shemeji Steven Kolimba akipokea upako wa neno | 
| Kaka Amathe akila neno | 
| Mr and Mrs Dan Welwel | 
| Mr and Mrs Elia Yobu(MAYO Insurance Brokers) katika sala nzito | 
| Mark Okello na Mike Dalali wakibubujika kwa Bwana | 
| Mimi na Maiwaifu wangu wazee wa Upako | 
| Dada Dr.Subi akifungua Neno | 
| Dada Rose akikamua Neno |