| Events Lab walipamba vilivyo | 
| Ma-Profesa wa baadae wakimleta mgeni Rasmi | 
| Mkurugenzi Mama Rweyimamu na Mgeni rasmi | 
| Mshereheshaji Ndugu yangu Alex Mayunga-CEO wa Breakthrough Business Support | 
| Na kazi ianze | 
| Mwenyekiti wa Bodi | 
| Mgeni rasmi Baba Askofu Dr.Alex Malasusa akabariki tukio kwa kulikabidhi mikononi mwa Bwana | 
| Watoto hawa wana vipawa vya hali ya juu..Tuliburudika | 
| Neno toka EDUCATE The Children Scholarship Fund~Kaka Deus | 
| Baba Askofu akinadi picha ya Mkurugenzi wa St.Joseph's Nursery and primary School | 
| Mpambano wa kugombania picha unaendelea | 
| Mimi Na Deus tulinunua hii keki kwa 200,000/= na kumpa zawadi mgeni Rasmi | 
| Mgeni Rasmi nae akaitoa zawadi kwa washiriki wote. | 
| Mwenyekiti wa Bodi ya St.Joseph's akinadi picha ya Baba Askofu | 
| Mnada bin mnadani | 
| Baba Askofu akikata keki tulimnunulia(mimi na Deus) ili wote washiriki mkate | 
No comments:
Post a Comment